audio by title 'khamis'
Khamis
0:40 minutes (317.39 KB)
nna ndoto kwamba siku moja bunge letu litakuwa la wasanii tu, kwasababu wasanii ndo hasa ambao wanaigusa yale ambayo yanaikera jamii,badala ya wasomi ambao wanaonekana wazi kuwa ama ni magoigoi ama wamekuwa ni watumwa wa wanasiasa badala ya kuwa watumwa wa maendeleo.
