Mishahara ya Walimu
Submitted by Mwananchi on Thu, 2006-08-24 10:15.
Elimu | Pesa
Jina
Ally Ahmed Mlekwa ( Brantyer Malawi)
Maoni
Ningependa hii mishahara ya walimu wa shule za msingi TANZANIA ikaboleshwa ukilinganisha na mishahara ya wenzetu Malawi Licha malawi ni nchi masikini kuliko sisi kielimu bado hatutowapata kutokana na mishara duni na mifumo ya kielimu tuliyo nayo pia mabenk yaongezwe sio kila siku NMB Walimu wa Tanzania wanapata shidasana kua na kibenk kimoja wanarundikana ktk benk mojo zaidi ya walimu elf moja Ahsante.
Simu
+2568389333
