Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

waajiri wasiwazuie wafanyakazi wao kujiendeleza kielimu

|

Jina

Pwani Mwankanda, wa Kiwira, Tukuyu.

Maoni

Tupo kwenye dunia ya utandawazi,sayansi na tekinolojia. Dunia inayo hitaji watu wenye elimu ya kutosha. Lakini, kitu cha kusikitisha ni kwamba, kuna baadhi ya taasisi za serikali na za binafsi hapa tanzania zinawazuia wafanyakazi wake wasijiendeleze kielimu. Viongozi wa taasisi hizi wamekuwa wakiweka vikwazo vingi kwa mtu anaye taka kujiendeleza kielimu. Hii yote inasababishwa na viongozi hawa kuwa na woga wa kupoteza madaraka kwa vijana wenye nia, ari na uwezo wa kujiendeleza kimasomo. Mimi naona serikali itafute maoni toka kwa wafanyakazi,ili kubaini viongozi wenye tabia ya kuzuia wafanyakazi wao wasijiendeleze kielimu. mara watakapo bainika viongozi hawa wafukuzwe kazi, kwani wanarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu.

Simu

0741663701

Barua pepe

Vote Result
----------