Rushwa
Submitted by Mwananchi on Sun, 2006-08-27 16:00.
Rushwa
Jina
GREYSON ONESMO
Maoni
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 16 ninasoma Kampala. Huwa ninarudi kila likizo.Nimeshuhudia mambo mengi yasiyo na utu katikan mipaka ya Tanzania na Kenya. Kusema ukweli inatia huruma na tunaomba serekali iingilie kati.

Namanga business
Here's a story about border trade in Namanga: http://allafrica.com/stories/200608290212.html source: East African