MUZIKI
Submitted by Mwananchi on Mon, 2006-09-04 10:25.
Muziki
Jina
MR.MASUDI MSEMO
Maoni
suala zima la muziki hapa Tanzania kwani wapo watu wanao nyonya wengine kwa maslai yao kwa mfano wa DOSI wanawanyonya wa Tanzania kwani wanawaambia watoe albam kisha wazitangaze wao wenyewe kisha wanawapa ujira wa albam hiyo kidogo naomba serikali iingilie kati suala la HAKI MILIKI kwani ni vyema mtu akavuna alichopanda sio mtu apande mwingine avune mwingine.serikali wasaidieni wanamuziki ndio ajira pekee inaweza kukuza kipaji cha mtu. ahsanteni!
Simu
+255 713 669 533
