afya
Submitted by Mwananchi on Sat, 2006-09-16 18:44.
Afya
Jina
Devotha Msigwa
Maoni
Mimi nachangia swala la afya hasa ukienda mahospitalini utakuta wagonjwa wengi hawathaminiwi sababu rti hawana pesa na wenye pesa au wanaofahamika utaona ndio wanaosaidiwa mapema sana na kuwaacha wagonwa wengine wakifa kisa hawana pesa kwakweli hii si haki kabisa ni kwenda kinyume na haki za bina wauguzi au madokta wawe huruma na wakae wakijua binadamu wote ni sawa.
Simu
0753125994
