UKIMWI
Submitted by Mwananchi on Fri, 2006-09-22 09:15.
Ukimwi
Jina
JOSEPH PASTORY
Maoni
Mimi ninaamini kuwa elimu kuhusu ukimwi imeenezwa kwa asilimia mia moja, kila Mtanzania anaelewa elimu ya msingi ya Ukimwi, yaani Ukimwi unaambukizwa vipi, hauna tiba na jinsi ya kuepuka kuambukizwa. Ukiongea na waayhirika wa Ukimwi walio wazi utagundua kua waliamini kuwa Ukimwi hautawapata wao, hili ndio kosa kubwa kwa wengi wetu kudhani kuwa " sio mimi" anayeweza kuambukizwa ukimwi.
Simu
0784 432420
