Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

UKIMWI

Jina

JOSEPH PASTORY

Maoni

Mimi ninaamini kuwa elimu kuhusu ukimwi imeenezwa kwa asilimia mia moja, kila Mtanzania anaelewa elimu ya msingi ya Ukimwi, yaani Ukimwi unaambukizwa vipi, hauna tiba na jinsi ya kuepuka kuambukizwa. Ukiongea na waayhirika wa Ukimwi walio wazi utagundua kua waliamini kuwa Ukimwi hautawapata wao, hili ndio kosa kubwa kwa wengi wetu kudhani kuwa " sio mimi" anayeweza kuambukizwa ukimwi.

Simu

0784 432420

Barua pepe

Vote Result
----------