Usafi katika manispaa ya Zanzibar
Submitted by Mwananchi on Thu, 2006-09-28 07:11.
Mazingira
Jina
Fatma
Maoni
Suala la usafi katika manispaa ya Zanzibar. Utakuta askari wa jiji wanakimbizana na wafanyabiashara wa samaki na huku katika manispaa hiyo hiyo kuna mifugo tele inayozurura bila uangalizi wa mtu yeyote. Maoni yangu ni kuwa hao wafanyabiashara wangepewa masharti ya kuhakikisha eneo wanalofanyia kazi ni safi kila wakati na hao askari wa jiji wakashughulikia tatizo la mbuzi waliotapakaa katika manispaa hiyo
