Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Usafi katika manispaa ya Zanzibar

Jina

Fatma

Maoni

Suala la usafi katika manispaa ya Zanzibar. Utakuta askari wa jiji wanakimbizana na wafanyabiashara wa samaki na huku katika manispaa hiyo hiyo kuna mifugo tele inayozurura bila uangalizi wa mtu yeyote. Maoni yangu ni kuwa hao wafanyabiashara wangepewa masharti ya kuhakikisha eneo wanalofanyia kazi ni safi kila wakati na hao askari wa jiji wakashughulikia tatizo la mbuzi waliotapakaa katika manispaa hiyo

Simu

Barua pepe

Vote Result
----------