Leseni kwa madereva kuepusha ajali
Submitted by Mwananchi on Fri, 2006-10-06 21:25.
Daladala
Jina
Sosteness Emanuely Kawishe
Maoni
Mimi naonelea kwamba dereva yoyote anaendesha gari ya abiria na mizigo zaidi tani mbili awe na leseni ya class c na awe umri usiopungua miaka thelathini na tano na awe amesoma chuo kinachoeleweka kiserikali na kiundwe chombo maalum cha kuhakiki leseni.
Simu
0713439692
