Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

maisha

Jina

SAIDA RAJABU ZAUKUU

Maoni

Mimi ni mama wa watoto wawili ambaye nafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi.kiasi ninachopata hakitoshelezi kabisa. kuwasaidi hawa watoto wawili. Japo Baba yao upo lakini asilimia 80% ni mimi ndio ninawajibika. Sawa nauliza je kama ningekuwa sina kazi hawa watoto wangesoma kwa jinsi mahitaji yao wanavyokaa? Sisi akina mama tunaomba tupewe mikopo iliyo na riba nafuu ili tuweze kujikwamua kwa kwa maelezi ya familia ni sisi akina mama. Saida Rajabu Dar

Simu

0754822802

Barua pepe

babuswedy@yahoo.com
Vote Result
----------