Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Daladala

Jina

Tupa jb

Maoni

Unajua hapa Tanga hakuna bei maalum ya daladala mara 200 mara 300 wakati tunajua Dar nauli inaanzia 150 mpaka 250 kutokana na umbali kwanza walisema watashusha bei kwa kuwa mafuta bado yapo kwenye visima wamenunua kwa bei kubwa pamoja na kodi kubwa sasa sijui mpaka sasa mafuta hayajaisha kwenye visima hivyo ningeomba mamlaka husika ifuatilie tujue bei ni kiasi gani si mpaka uombe ndio ulipe 200

Simu

Barua pepe

jbtupa5@yahoo.com
Vote Result
----------