Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

UKIMWI

Jina

KADE

Maoni

<p>Maoni yangu mimi kama kijana nafikiri pia naona serikali hajaamua hasa kupambana na huu ugonjwa kikamilifu kwani imekuwa ikiongea ilikujitoa lawama kwamba inaliona janga hili na mimi naona serikali imeamua kuacha vijana tuangamie kwasababu haifuatilii ipasavyo.</p><p>Kwanini na kwasababu gani ukimwi ushike kasi kiasi hicho na kama ni mmomonyoko wa maadili kwanini yamomonyoke kiasi hicho.hili swala serikali isilichukulie kijina kwamba hiyo ni serikali basi itafanikiwa kwa sababu  serikali ina mkono mrefu utumike kuwa nyoosha wanao pororomosha maadi yetu kwakuiga kila kitu hata vilivyo kinyume na madili ya kitanzania.</p>

Simu

0713232305

Barua pepe

obila_kd@yahoo.co.uk
Vote Result
----------