UKIMWI
Submitted by Mwananchi on Sun, 2006-10-22 11:59.
Ukimwi
Jina
KADE
Maoni
<p>Maoni yangu mimi kama kijana nafikiri pia naona serikali hajaamua hasa kupambana na huu ugonjwa kikamilifu kwani imekuwa ikiongea ilikujitoa lawama kwamba inaliona janga hili na mimi naona serikali imeamua kuacha vijana tuangamie kwasababu haifuatilii ipasavyo.</p><p>Kwanini na kwasababu gani ukimwi ushike kasi kiasi hicho na kama ni mmomonyoko wa maadili kwanini yamomonyoke kiasi hicho.hili swala serikali isilichukulie kijina kwamba hiyo ni serikali basi itafanikiwa kwa sababu serikali ina mkono mrefu utumike kuwa nyoosha wanao pororomosha maadi yetu kwakuiga kila kitu hata vilivyo kinyume na madili ya kitanzania.</p>
Simu
0713232305
