elimu
Submitted by Mwananchi on Thu, 2006-10-26 09:14.
Jina
salehe jumanne simba
Maoni
swala la viboko mashuleni lime kuwa kelo kubwa sana kwa wanafunzi selikali imeamuru viboko mwisho vitatu kwanini walimu wanawapiga wanafunzi niboko zaidi ya vitatu na kuwapa adhabu nzito selikali inaishia kusema tu ila utekelezaji ni mdodo naomba selikali ifatilizie swala hili
Simu
0755 984434
