Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Aibu kwa Taifa

Jina

Ayasi Ramadhani

Maoni

Kuhusu elimu,Naomba hata wizara elimu waweke kingereza shule ya msingi maana tuna aibika tunapo fika nchi za kigeni maana kuongea unashindwa unabaki unajing'ata hii yote inatokana na Foundation mbovu mtu anaenda kujifunza kingereza baada ya kumaliza kidato cha nne,Naomba wizara ya elimu wajaribu kuliangalia hili swara vizuri,Maana hata wa Tanzania wanshindwa kufanya biashara nchi za nje au na wageni,Nafahamu kwamba tuna upeo na biashara lakini bila lugha za kimataifa hutafika mbali tutaishia Tanzania

Simu

Barua pepe

mjombaayasi@yahoo.com
Vote Result
----------