Aibu kwa Taifa
Submitted by Mwananchi on Mon, 2006-10-30 13:49.
Elimu
Jina
Ayasi Ramadhani
Maoni
Kuhusu elimu,Naomba hata wizara elimu waweke kingereza shule ya msingi maana tuna aibika tunapo fika nchi za kigeni maana kuongea unashindwa unabaki unajing'ata hii yote inatokana na Foundation mbovu mtu anaenda kujifunza kingereza baada ya kumaliza kidato cha nne,Naomba wizara ya elimu wajaribu kuliangalia hili swara vizuri,Maana hata wa Tanzania wanshindwa kufanya biashara nchi za nje au na wageni,Nafahamu kwamba tuna upeo na biashara lakini bila lugha za kimataifa hutafika mbali tutaishia Tanzania
