KUBORESHA ELIMU
Submitted by Mwananchi on Tue, 2006-11-07 15:22.
Elimu
Jina
PATRICK NKANDI NANGALE
Maoni
Mimi ni mmoja wa wanaharakati wa elimu,napenda kuishauri serikali hasa katika suala zima la matatizo yanayowakumba wanafunzi wa sekondari na shule za msingi,naiomba serikali ianzishe Association za wanafunzi ambazo zitafanya kazi katika ngazi ya wilaya,mkoa na taifa na katika ngazi ya mkoa na wilaya zisimamiwa na afisa elimu kama mlezi mkuu ili kuwawezesha wanafunzi kukutana na kujadili masuala yao mbalimbali.Na katika ngazi ya Taifa katibu mkuu wa wizara ya Elimu ndiye anatakiwa kuwa mlezi wa association. Ambazo zinawezwa kuitwa BUNGE LA WANAFUNZI.
Simu
0753571616
