Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

KUBORESHA ELIMU

Jina

PATRICK NKANDI NANGALE

Maoni

Mimi ni mmoja wa wanaharakati wa elimu,napenda kuishauri serikali hasa katika suala zima la matatizo yanayowakumba wanafunzi wa sekondari na shule za msingi,naiomba serikali ianzishe Association za wanafunzi ambazo zitafanya kazi katika ngazi ya wilaya,mkoa na taifa na katika ngazi ya mkoa na wilaya zisimamiwa na afisa elimu kama mlezi mkuu ili kuwawezesha wanafunzi kukutana na kujadili masuala yao mbalimbali.Na katika ngazi ya Taifa katibu mkuu wa wizara ya Elimu ndiye anatakiwa kuwa mlezi wa association. Ambazo zinawezwa kuitwa BUNGE LA WANAFUNZI.

Simu

0753571616

Barua pepe

pattynangale@yahoo.com
Vote Result
----------