Elimu
Submitted by Mwananchi on Thu, 2006-11-09 14:09.
Jina
jahrean henry
Maoni
<p>Kwanza tunashukuru kwa kuwezeshwa kuchangia maoni. </p><p>Kuhusu suala la misaada kwa watoto yatima ningeomba selikali ingetoa taarifa misaada inapo fika sehemu husika ili kuzuia kupotea kwa misaada hiyo na kuweza kuwafikia walengwa</p>
