elimu
Submitted by Mwananchi on Wed, 2006-11-22 11:00.
Ajira
Jina
jahrean Iringa
Maoni
mimi nilikuwa naomba selikali iboreshe nyumba za walimu na mazingira ya usafili kwani walimu wana mazingira mabaya ya kimaisha mishahara wanachelewa kuipata hasa malipo ya uzeeni na mishahara wawapo kazini ili walimu wawe na moyo wa kuwafundisha watoto. Hii itapunguza watoto na walimu kukimbilia tuisheni na shule binafsi
