Bittony, Mbeya
Elimu

The whole issue of delayed payment of fees that should normally be paid to allow a student to concentrate on his studies: there is currently a big crisis and I think it affects every student of higher learning institutions. I really think our board was given a big task, way before it was ready to handle and address the needs of all students at once.

Suala zima la kucheleweshwa kwa malipo, ambao Mwanafunzi anatakiwa alipiwe haraka zaidi ili aweze kusoma kwa kutulia. Leo limekuwa ni tatizo kubwa, nafikiri linamgusa kila mwanafunzi wa Taasisi ya Elimu ya juu, na bodi yetu kwa kweli nafikiri iliharakishwa kupewa majukumu makubwa ikiwa bado haijajiandaa kuweza kukidhi mahitaji ya wanafunzi wote kwa wakati mmoja.
The whole issue of delayed payment of fees that should normally be paid to allow a student to concentrate on his studies: there is currently a big crisis and I think it affects every student of higher learning institutions. I really think our board was given a big task, way before it was ready to handle and address the needs of all students at once.
