Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Latifa, Dar es Salaam

Maoni yangu ni kwa Mashirika yanayohusika na haki za binaadam, kukemea suala la usafirishaji wa watoto hususan wa kike, kutoka Vijijini kuja Mijini kama wafanyakazi wa ndani kwani huu ni ukiukwaji wa haki za binaadam.


My opinion is directed towards the human rights organisations: to   address the issue of child trafficking and especially the girls who are brought from the villages into towns to work as house girls, which is a violation of human rights.

Vote Result
----------