Ernest, Lutindi
Afya

I want to request the government or organisations providing treatment for mental illness and problems related to drug abuse to help putting up clinics in different parts of the country and to support the doctors who are caring for the sick because this is such a demanding job.
Maoni yangu ni kwamba naomba Serikali au Mashirika yanayohusika na masuala ya matibabu ya magonjwa ya akili na pamoja na matatizo ya madawa ya kulevya. Naomba wasaidie kujenga japo vituo vingi katika sehemu mbali mbali za Tanzania na pia kuwasaidia madokta ambao wanahusika na kutoa matibabu kwa wagonjwa kwa kuwa kazi wanayo fanya ni ngumu sana.
I want to request the government or organisations providing treatment for mental illness and problems related to drug abuse to help putting up clinics in different parts of the country and to support the doctors who are caring for the sick because this is such a demanding job.
