Josephat, Mtwara
Walemavu

The infrastructure for Tanzanians makes me really sad, because it does not consider the needs of the physically challenged people, be it the private or government. We therefore call to all those involved in infrastructure development to remember the disabled amongst us.
Miundo mbinu ya watanzania inasikitisha kweli, kwasababu miundo mbinu iliopo kwa sasa haikidhi mahitaji ya watu wenye ulemavu, iwe ya binafsi, iwe ya Serikali. Hivyo tunawaomba wale wanao husika na masuala ya miundo mbinu kukumbuka kwamba na watu wenye ulemavu wapo.
The infrastructure for Tanzanians makes me really sad, because it does not consider the needs of the physically challenged people, be it the private or government. We therefore call to all those involved in infrastructure development to remember the disabled amongst us.
