Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

daladala

Jina

Juma Richard Okumu

Maoni

tunaomba idara inayohusika na masuala ya usafirishaji ihakikishe kwamba watoto wanapata haki kama binadamu wengine ndani ya daladala .pia wahakikishe daladala zinawafikisha abiria mwisho wa safari kwa sababu kumekuwa na mtindo mpya wa kuwashusha abiria kabla ya kufika waendako.hii inatokea baada ya abiria wengi kushukia njiani na wachache wanaobaki hushushwa kabla ya kufika mwisho wa safari.ili kupunguza gharama ya mafuta.

Simu

Barua pepe

jmrchrd@yahoo.com
Vote Result
----------