daladala
Submitted by Mwananchi on Mon, 2006-12-18 16:02.
Jina
Juma Richard Okumu
Maoni
tunaomba idara inayohusika na masuala ya usafirishaji ihakikishe kwamba watoto wanapata haki kama binadamu wengine ndani ya daladala .pia wahakikishe daladala zinawafikisha abiria mwisho wa safari kwa sababu kumekuwa na mtindo mpya wa kuwashusha abiria kabla ya kufika waendako.hii inatokea baada ya abiria wengi kushukia njiani na wachache wanaobaki hushushwa kabla ya kufika mwisho wa safari.ili kupunguza gharama ya mafuta.
