Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Daladala

Jina

Risper

Maoni

Moja ya sababu inayopelekea wafanyakazi wa daladala kukiuka miiko sahihi ya muongozo wa usafiri wawapo barabarani ni tamaa ya fedha iliyojengeka kati yao na matrafiki. Hivyo wapo tayari kufanya kila lisilostahili kwa sababu wanajua hata wakikamatwa watahonga kitu ambacho si sahihi. Kwa kifupi ndio hivyo.

Simu

Barua pepe

tatizomuda@yahoo.com
Vote Result
----------