mikopo elimu ya juu
Submitted by Mwananchi on Wed, 2006-12-20 09:34.
Jina
Mwl.mzeru,Deogratias Paul morogoro
Maoni
Nasikitishwa na hatua ya serikali kusitisha mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu shahada ya uzamili.(masters).kitendo hiki kinatufanya watanzania tushindwe kuingia kwenye soko la ushindani la ajira na pia kupoteza wataalamu ambao wangesaidia kuiletea Nchi maendeleo na kuwajengea uwezo wa kitaaluma.
Simu
0786 709600
