Wasomi Wa Tanzania Wanatakiwa!
Submitted by Mwananchi on Tue, 2007-01-09 10:52.
Jina
Michael Paul
Maoni
mimi ninashanga kwa wasomi watanzania kukimbilia nje, Wakati nci yetu ndio imewasomesha, Je serikali haiwatambui au? Kwani ni kupoteza hela za serikali kuwasomesha watu ambao hawaitumikii nchi yao. Ninaiomba serikali iangalie jinsi ya kuwapata wasomi hao ili waitumikie nchi yao.
