Michezo
Aisha, Dar es Salaam
MichezoNachangia kuhusu suala la michezo limerudishwa mashuleni lakini zana za michezo hakuna. Hivyo tulikuwa tunaomba ziletwe zana za michezo mashuleni ili kuboresha michezo.
I would like to talk about the reintroduction of school games yet the sports gears are unavailable. We would like to request that these gears be provided to improve the sports in schools.
Abbas, Dar es Salaam
MichezoMaoni yangu mimi nikuhusu hii chimbachimba iliyokuja hapa kutengeneza barabara ni kama wameyaambia magari yaende kwa fujo. Utakuta gari ikipita inaacha kupita kule barabarani yanakatisha pale uwanjani na pale uwanjani ndio sehemu tunayotumia sisi kucheza mpira. Kwa hiyo pale sisi tutaathirika na yale magari yanayopita pale yanaweza yakatugonga.
My opinion regarding the caterpillars that are here to repair the roads: its as if they have instructed the cars to drive recklessly! The vehicles divert from the main road into the ground where we play football. This bothers us a lot us as they could easily run us over!
Taifa Stars
Submitted by Mwananchi on Wed, 2006-11-01 09:38. MichezoJina
Maoni
Simu
Tunawezo wakuendelea mbele bila uchawi
Submitted by Mwananchi on Mon, 2006-10-30 13:40. MichezoJina
Maoni
Simu
Abdalla, Iringa
MichezoMimi ni mwanasports, kitu ambacho kinanikera kwamba TFF wameagizwa watafute kocha wa kutoka nje ili na sisi soka letu liwe juu lakini cha kusikitisha ni kwamba mpaka sasa hivi TFF haijaamua lolote, na sisi mwanasports tunasikilizia kwamba nini kinaendelea lakini hatuelewi chochote.
I am a sportsman. What annoys me is that TFF have been told to find a coach from abroad, so that also our football should be improved, but sadly until now TFF have not made a any decision. And we sports fans try to find out what is happening but we don't understand any
Nasra, Lushoto
MichezoSakina, Dar es Salaam
MichezoSaa hizi nacheza mpira wa mguu na saa hizi tunajiandaa katika ligi. Nilikuwa naomba serikali itufanyie mkaza ili tuweze kushiriki mashindano na tuweze kupitishwa katika ligi. Wasije wakatusahaulisha tena, tunasahaulika sana katika michezo. Na serikali huwa inaangalia sana wavulana katika michezo, wasichana huwa hatuangalii. Sasa nilikuwa naomba: ituangalie na sisi katika michezo!
This time of the day I play football and we are now getting ready for the league. I ask the government to support us, so that we can participate in tournaments and enter the league. They shouldn't forget us again, we are often very much forgotten when it comes to sports. The government usually pays a lot of attention to boys' sports, but doesn't look at girls' sports. Now I want to ask: support also our sports!
