Afya
Ernest, Lutindi
AfyaMaoni yangu ni kwamba naomba Serikali au Mashirika yanayohusika na masuala ya matibabu ya magonjwa ya akili na pamoja na matatizo ya madawa ya kulevya. Naomba wasaidie kujenga japo vituo vingi katika sehemu mbali mbali za Tanzania na pia kuwasaidia madokta ambao wanahusika na kutoa matibabu kwa wagonjwa kwa kuwa kazi wanayo fanya ni ngumu sana.
I want to request the government or organisations providing treatment for mental illness and problems related to drug abuse to help putting up clinics in different parts of the country and to support the doctors who are caring for the sick because this is such a demanding job.
Doria, Dar es Salaam
AfyaVijana wengi wanashiriki sana kutumia madawa ya kulevya, unaona kwa hiyo ukizingatia kwamba vijana ni taifa la leo manaake nikisema la kesho nakosea ni taifa la leo. Kwa hiyo wanapotumia vijana haya madawa yanakuwa yana waathiri wanashindwa kufanyakazi. Kwahiyo nilikuwa naishauri Serikali au naiomba Serikali iangalie hili suala, wawadhibiti wale wanaoingiza madawa hapa nchini ili tupate kuwanusuru vijana wetu.
Many young people participate in abusing drugs. You see, considering that young people are today's nation - I would be wrong if I say tomorrow's... so whenever they abuse the drugs it destroys them as they are unable to work.
Afya
Submitted by Mwananchi on Thu, 2006-10-26 15:43. AfyaJina
Maoni
Simu
afya
Submitted by Mwananchi on Sat, 2006-09-16 18:44. AfyaJina
Maoni
Simu
haki zizigatiwe kwa Asasi zote zinazo shughulika na ukimwi nchini tanzania
Submitted by Mwananchi on Tue, 2006-09-05 14:41. Afya | HakiJina
Maoni
Simu
Makonda wa daladala
Submitted by Mwananchi on Mon, 2006-09-04 13:53. Afya | DaladalaJina
Maoni
Simu
Ambokile, Korogwe
AfyaNingependa kuona kwamba wagonjwa wa akili, wawe kama wenye maradhi mengine wanavyokwenda kutibiwa nyumbani. Basi hata magonjwa ya akili pia kuna uwezekano wa kwenda kumtibu nyumbani, ili kuondoa hii hali ya kwamba kila mgonjwa lazima akalazwe hospitali. Inawezekana kabisa kumtibu mngonjwa katika mazingira ya nyumbani kwake.
I would like to see that the mentally ill are treated like any other ill person who can be treated at their home. A mentally ill person too can be cured at home, they do not have to be admitted to hospital. It is perfectly feasible to treat such a person in
