Maisha
KERO YA MGAO WA UMEME TANZANIA
Submitted by Mwananchi on Fri, 2006-10-20 22:24. Maisha | UchumiJina
ROLAND MAANGA
Maoni
Uchumi wa Tanzania unaporomoka kwa kasi kubwa kutokana na ukosefu wa nguvu ya umeme wa uhakika. Madini ya Uranium yanayotengeneza nishati ya nyuklia yanapatikana Tanzania. Natoa wito kwa Wizara ya Nishati na Madini kuwasiliana na nchi kama Iran na Korea waombe kupewa teknolojia ya uzalishaji nguvu za umeme kwa njia ya nyuklia na tutaondokana kabisa na tatizo sugu la umeme linalokabili nchi yetu.
Simu
+255784459850
maisha
Submitted by Mwananchi on Fri, 2006-10-13 10:35. MaishaJina
SAIDA RAJABU ZAUKUU
Maoni
Mimi ni mama wa watoto wawili ambaye nafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi.kiasi ninachopata hakitoshelezi kabisa. kuwasaidi hawa watoto wawili. Japo Baba yao upo lakini asilimia 80% ni mimi ndio ninawajibika. Sawa nauliza je kama ningekuwa sina kazi hawa watoto wangesoma kwa jinsi mahitaji yao wanavyokaa? Sisi akina mama tunaomba tupewe mikopo iliyo na riba nafuu ili tuweze kujikwamua kwa kwa maelezi ya familia ni sisi akina mama. Saida Rajabu Dar
Simu
0754822802
Maisha
Submitted by Mwananchi on Thu, 2006-09-28 15:04. MaishaJina
Subira
Maoni
Maisha ya sasa hivi yamekuwa magumu mno kuliko kipindi chochote kile tangu nianze kuwa na akili za ufahamu. Vitu vimepanda bei kuliko kila kitu ni gharama na ajira zenyewe hazipatikani watu wanawekana maofisini. Tunaomba serikali iangalie swala la upandaji ovyo wa bidhaa ili iweze kurekebisha tatizo hili.
Simu
0755428303
maisha
Submitted by Mwananchi on Wed, 2006-08-30 15:26. MaishaJina
HASSAN MBILILI
Maoni
nahitaji sana kuchangia mawazo kwa njia ya video sijui nifuate utaratibu upi?
