Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Emanuel, Bagamoyo

|
Emanuel

Wengi wananchi wana talent kubwa sana ya kuweza kufanya vitu ambavyo watu wengine hawataweza kufanya. Lakini kutokana na umaskini wa nchi yetu vijana wengi wanakuwa wanashindwa kupata ajira au wengine wanashindwa kuendeleza talent zao. Naona, kama Bagamoyo tukijengewa studio hapa itaweza kunisaidia mimi na watu wengine ambao watakuwa na talent za muziki.


Many citizens are very talented and can do things that others can't. But because this is a poor country many young people don't manage to get a job and can't develop their talents. I believe, if we could get a studio to be built in Bagamoyo, it would help me and other people who have a talent for music.

 

Vote Result
----------