Home Jaqueline Angel Lekei Mama Nancy Ambokile Rose Kevin Thomas Angelina Khamis Anato Emanuel honorath Samahani Ramadhani Lilian Sospeter Happiness Sakina Samuel Nasra Richard Sulemida Juma Hassan Mary Magari Mwaabu Fatuma Abdalla

Thomas, Simanjiro

Thomas

Serikali inapaswa kutafuta mbinu ili walemavu na wao waweze kuajiriwa, waweze kujisaidia katika maisha yao ya kibaadaye. Wengi wao walemavu hawajasoma na hivyo wanaumia wanvyojitahidi kushuhulikia maisha yao ya baadaye.


Disabled people should also be able to find employment, so that they can lead independent lives. Many disabled people have not been to school, so they have problems when it comes to trying to build a future for themselves.

Vote Result
----------